Zaeni Matunda Mema

[1]
Zaeni matunda mema
Zaeni matunda yale
Zaeni yenye baraka,
Zaeni ya heri.

[chorus]
Bwana akiyapokea
Yatabarikiwa vyema
Zaeni matunda mema
Zaeni ya heri.

[2]
Safisha mwenendo wako
Safisha matendo yako
Safisha na BwanaYesu,
Safisha yote.

[chorus]
Bwana akiyapokea
Yatabarikiwa vyema
Zaeni matunda mema
Zaeni ya heri.

[3]
Fanyeni kazi kindugu
Fanyeni kazi kwa bidii
Fanyeni na Bwana Yesu,
Fanyeni nyote.

[chorus]
Bwana akiyapokea
Yatabarikiwa vyema
Zaeni matunda mema
Zaeni ya heri.

[4]
Tolea matunda yako
Pamoja na moyo wako
Naye Bwana Mungu,
Wako atakubariki.

[chorus]
Bwana akiyapokea
Yatabarikiwa vyema
Zaeni matunda mema
Zaeni ya heri.

[5]
Baraka za Mungu Baba
Baraka za Mungu Mwana
Na za Roho Mtakatifu,
Ziwe nanyi nyote.

[chorus]
Bwana akiyapokea
Yatabarikiwa vyema
Zaeni matunda mema
Zaeni ya heri.