Lyrics
Font size:
[1]
Ni tabibu wa karibu
Tabibu wa ajabu;
Na rehema za daima
Ni dawa yake njema
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[2]
Hatufai kuwa hai
Wala hatutumai
Ila yeye kweli ndiye
Atupumzishaye.
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[3]
Dhambi pia na hatia
Ametuchukulia
Twenendeni na amani
Hata kwake mbinguni
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[4]
Huliona tamu jina
La Yesu Kristo Bwana
Yu na sifa mwenye kufa
Asishindwe na kufa
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[5]
Kila mume asimame
Sifa zake zivume
Wanawake na washike
Kusifu jina lake
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[6]
Na vijana wote tena
Wampendao sana
Waje kwake wawe wake
Kwa utumishi wake.
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
Ni tabibu wa karibu
Tabibu wa ajabu;
Na rehema za daima
Ni dawa yake njema
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[2]
Hatufai kuwa hai
Wala hatutumai
Ila yeye kweli ndiye
Atupumzishaye.
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[3]
Dhambi pia na hatia
Ametuchukulia
Twenendeni na amani
Hata kwake mbinguni
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[4]
Huliona tamu jina
La Yesu Kristo Bwana
Yu na sifa mwenye kufa
Asishindwe na kufa
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[5]
Kila mume asimame
Sifa zake zivume
Wanawake na washike
Kusifu jina lake
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
[6]
Na vijana wote tena
Wampendao sana
Waje kwake wawe wake
Kwa utumishi wake.
[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.