Ni Tabibu Wa Karibu

[1]
Ni tabibu wa karibu
Tabibu wa ajabu;
Na rehema za daima
Ni dawa yake njema

[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu

[2]
Hatufai kuwa hai
Wala hatutumai
Ila yeye kweli ndiye
Atupumzishaye.

[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu

[3]
Dhambi pia na hatia
Ametuchukulia
Twenendeni na amani
Hata kwake mbinguni

[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu

[4]
Huliona tamu jina
La Yesu Kristo Bwana
Yu na sifa mwenye kufa
Asishindwe na kufa

[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu

[5]
Kila mume asimame
Sifa zake zivume
Wanawake na washike
Kusifu jina lake

[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu

[6]
Na vijana wote tena
Wampendao sana
Waje kwake wawe wake
Kwa utumishi wake.

[chorus]
Imbeni malaika, sifa zaYesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu