Lyrics
Font size:
[1]
Liko lango moja wazi ,
Ni lango la Mbinguni,
Na wote waingiao
watapata nafasi.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[2]
Yesu ndiye lango hili,
Hata sasa niwazi,
kwa wakubwa na wadogo,
Tajiri na maskini.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[3]
Hili ni lango la raha,
Ni lango la rehema,
Kila mtu apitaye
hana machozi tena.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[4]
Tukipita lango hili
Tutatua mizigo,
Tuliochukua kwanza,
Tutavikwa uzima.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[5]
Hima ndugu tuingie
Lango halijafungwa,
Likifungwa mara moja
Halitafunguliwa.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
Liko lango moja wazi ,
Ni lango la Mbinguni,
Na wote waingiao
watapata nafasi.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[2]
Yesu ndiye lango hili,
Hata sasa niwazi,
kwa wakubwa na wadogo,
Tajiri na maskini.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[3]
Hili ni lango la raha,
Ni lango la rehema,
Kila mtu apitaye
hana machozi tena.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[4]
Tukipita lango hili
Tutatua mizigo,
Tuliochukua kwanza,
Tutavikwa uzima.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
[5]
Hima ndugu tuingie
Lango halijafungwa,
Likifungwa mara moja
Halitafunguliwa.
[chorus]
Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake ,(lango)
Lango,Lango, lango, lango
La Mbinguni ni wazi
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.