Lyrics
Font size:
[1]
Baragumu yake Bwana wakati ikipigwa
Na siku ya milele ikifika;
Hapo waliokombolewa watakusanyika
Nitakuwapo, jina kuitika
[chorus]
Na majina yaitwapo X3
Kuitika jina, nitakuwapo
[2]
Wafu wa Kristo wafufukapo kwa siku ile,
Tutashiriki na fahari yake;
Waliochaguliwa watakaribishwa kwake
Nitakuwako jina kuitika
[chorus]
Na majina yaitwapo X3
Kuitika jina, nitakuwapo
[3]
Saa zote na tumfanyie Bwana kazi yake
Tangu asubuhi hata jioni
Maisha yetu ikomapo humu duniani
Nitakuwako jina kuitika
[chorus]
Na majina yaitwapo X3
Kuitika jina, nitakuwapo
Baragumu yake Bwana wakati ikipigwa
Na siku ya milele ikifika;
Hapo waliokombolewa watakusanyika
Nitakuwapo, jina kuitika
[chorus]
Na majina yaitwapo X3
Kuitika jina, nitakuwapo
[2]
Wafu wa Kristo wafufukapo kwa siku ile,
Tutashiriki na fahari yake;
Waliochaguliwa watakaribishwa kwake
Nitakuwako jina kuitika
[chorus]
Na majina yaitwapo X3
Kuitika jina, nitakuwapo
[3]
Saa zote na tumfanyie Bwana kazi yake
Tangu asubuhi hata jioni
Maisha yetu ikomapo humu duniani
Nitakuwako jina kuitika
[chorus]
Na majina yaitwapo X3
Kuitika jina, nitakuwapo
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.