Lyrics
Font size:
[1]
Deni yangu ya dhambi
Yesu amelipa
Kwake msalabani
Nilipewa uzima
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
[2]
BwanaYesu asema,
Mwanangu dhaifu
Uwezo na ushindi
hupatikana kwangu
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
[3]
Bwana, kweli naona,
Nguvu zako pekee,
Huondoa ukoma
niwe kipya kiumbe.
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
[4]
Sina wema moyoni
Nidai neema
Nakubali kabisa
Kwa damu kusafiwa.
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
Deni yangu ya dhambi
Yesu amelipa
Kwake msalabani
Nilipewa uzima
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
[2]
BwanaYesu asema,
Mwanangu dhaifu
Uwezo na ushindi
hupatikana kwangu
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
[3]
Bwana, kweli naona,
Nguvu zako pekee,
Huondoa ukoma
niwe kipya kiumbe.
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
[4]
Sina wema moyoni
Nidai neema
Nakubali kabisa
Kwa damu kusafiwa.
[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.