Deni Yangu Ya Dhambi

[1]
Deni yangu ya dhambi
Yesu amelipa
Kwake msalabani
Nilipewa uzima

[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa

[2]
BwanaYesu asema,
Mwanangu dhaifu
Uwezo na ushindi
hupatikana kwangu

[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa

[3]
Bwana, kweli naona,
Nguvu zako pekee,
Huondoa ukoma
niwe kipya kiumbe.

[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa

[4]
Sina wema moyoni
Nidai neema
Nakubali kabisa
Kwa damu kusafiwa.

[chorus]
Deni ya dhambi
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa