Lyrics
Font size:
[1]
Baba yetu aliye mbinguni
Amenifurahisha yakini
Kuniambia mwake chuoni
Ya kuwa nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[2]
Nimwachapo kutanga mbali
Yeye yu vivyo hupenda kweli
Hunirejeza kwake moyoni
Kweli yu nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[3]
Anipenda! nami nampenda
Kwa wokovu alionitenda
Akanifia msalabani
Kwa kua nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[4]
Haya kujua yanipa raha
Kumwamini kuna furaha
Humfukuza mara shetani
Kwona yu nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[5]
Sifa ni nyingi asifiwazo
Moja ni sana katika hizo
Wala siachi hata mbinguni
Kwimba " Yu nami Yesu pendoni "
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
Baba yetu aliye mbinguni
Amenifurahisha yakini
Kuniambia mwake chuoni
Ya kuwa nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[2]
Nimwachapo kutanga mbali
Yeye yu vivyo hupenda kweli
Hunirejeza kwake moyoni
Kweli yu nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[3]
Anipenda! nami nampenda
Kwa wokovu alionitenda
Akanifia msalabani
Kwa kua nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[4]
Haya kujua yanipa raha
Kumwamini kuna furaha
Humfukuza mara shetani
Kwona yu nami Yesu pendoni
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
[5]
Sifa ni nyingi asifiwazo
Moja ni sana katika hizo
Wala siachi hata mbinguni
Kwimba " Yu nami Yesu pendoni "
[chorus]
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda, anipenda
Anipenda Mwokozi Yesu
Anipenda mimi
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.