WAKATI UTAKAPOTIMIA

[1]
Wakati utakapotimia, watu wata-danganywa,
Na manabii wa uongo, nao wata-tokea.

[chorus]
Watakuja na mavazi ya kondoo,
Ndani yao mbwa mwitu wakali. x2
Watu hao, watawadanganya
Danganya wengi sana, (tena)
Imani yao haitawahururnia
Mbwa mwitu wakali.

[2]
Dunia itaangamia, na kupita-kabisa,
Wote watendao maovu, wataja-angamia.

[3]
Ndugu sasa tujihadhari, siku zimetimia,
Dunia inayumbayumba, watu wana-danganywa.