TUNAWASALIMU

Language: Swahili
Nyimbo Za Umoja

TUNAWASALIMU

[1]
Tunawasalimu watu wa Mungu ndugu zetu,
Tunawasalimu kwa jina lake Bwana Yesu.

Ndiye aliyetupa na uwezo kuondoka,
Mwenye kutusaidia safari za njiani,
“Njoni sasa tumshukuru Mungu wetu”
Tumeishafika mahali hapa sisi sote.

[2]
Hatukutegemea kuonana ndugu zetu,
Mungu wetu ametusaidia sisi sote.