Sioshwi Dhambi Zangu

[1]
Sioshwi dhambi zangu,
Bila damu yake Yesu,
Hapendezewi Mungu,
Bila damu yake Yesu.

[chorus]
Hakuna kabisa,
Dawa ya makosa,
Ya kututakasa,
Ila damu yake Yesu.

[2]
La kunisafi sina,
Ila damu yake Yesu,
Wala udhuru tena,
Ila damu yake Yesu.

[chorus]
Hakuna kabisa,
Dawa ya makosa,
Ya kututakasa,
Ila damu yake Yesu.

[3]
Sipati patanishwa,
Bila damu yake Yesu,
Hukumu yanitisha,
Bila damu yake Yesu.

[chorus]
Hakuna kabisa,
Dawa ya makosa,
Ya kututakasa,
Ila damu yake Yesu.

[4]
Twaimba utukufu,
Una damu yake Yesu,
Milele twaisifu,
Hiyo damu yake Yesu.

[chorus]
Hakuna kabisa,
Dawa ya makosa,
Ya kututakasa,
Ila damu yake Yesu.