MUNGU WA UPENDO

Language: Swahili
Nyimbo Za Umoja

MUNGU WA UPENDO

[1]
Mungu wa upendo uliyeniumba,
Ukanipa mali nyumba na watoto.

Fadhili zako Mungu ni nyingi sana
E Mungu ambazo kweli sitaweza kulipa,
Naomba Baba e, Mungu, pokea hii sadaka,
Naitoa kwako “kwa” moyo wangu wote.

[2]
Mungu wa upendo, hii ni fedha yangu
Hii nyumba yangu wewe umenipa.

[3]
Mungu wa upendo na hao wanyama,
Na yote mashamba, wewe umenipa.