Mungu Awe Nanyi Daima

[1]
Mungu awe nanyi daima
Hata twonane ya pill,
Awachunge kwa fadhili,
Mungu awe nanyi daima.

[Chorus]
Hata twonane huko juu,
Hata twonane kwake kwema;
Hata twonane huko juu,
Mungu awe nanyi daima.

[2]
Mungu awe nanyi daima;
Ziwafunike mbawaze,
Awalishe, awakuze;
Mungu awe nanyi daima.

[Chorus]
Hata twonane huko juu,
Hata twonane kwake kwema;
Hata twonane huko juu,
Mungu awe nanyi daima.

[3]
Mungu awe nanyi daima;
Kila wakati wa zani
Awalinde hifadhini;
Mungu awe nanyi daima

[Chorus]
Hata twonane huko juu,
Hata twonane kwake kwema;
Hata twonane huko juu,
Mungu awe nanyi daima.

[4]
Mungu awe nanyi daima;
Awabariki sana,
Awapasulie kina;
Mungu awe nanyi daima.

[Chorus]
Hata twonane huko juu,
Hata twonane kwake kwema;
Hata twonane huko juu,
Mungu awe nanyi daima.