YA SABA NI KWA YESU

[1]
Siku sita fanya kazi, Ya saba ni kwa Yesu.
Hapo tunapopumzika, kwani ni yake Yesu.

Chorus
Moja, mbili, tatu, nne, tano, sita, zote kwetu;
Lakini tutakumbuka, Ya saba ni kwa Yesu!

[2]
Huonyesha ya kufanya, Kwa kuwa ni ya Yesu,
Na atuonyesha njia, tutamfuata Yesu.

[3]
Tuombe kila Sabato, Na kujifunza kwake;
Tutamtii daima, tutakaa na Yesu

20[3]