KRISTO WA NEEMA YOTE

[1]
Kristo wa neema zote imbisha moyo wangu
Mifulizo ya Baraka inaamsha shangwe kuu.
Unifunze nikupende, nikuandame kote,
Moyo wangu ukajaefuraha na tumaini.

[2]
Namshukuru sana Bwana, aniwezesha huku.
Salama aniongoza hata kule nyuumbani.
Yesu alinitafuta njiani mbali kwake,
Akatoa damu yake nipone hatarini.

[3]
Kweli mimi mwiwa mkubwa wa neema daima;
Wema wako unifunge zaidi kwako Bwana.
Ili nisivutwe tena kukuacha, ee Mponya,
Nitwalie moyo wangu uwe wako kamili.

0[10]