Lyrics
Font size:
[1]
Anakuja upesi, Yesu Bwana wetu,
Msafiri mbali na kwao;
Alisema dhahiri, ‘Nitakuja tena‘;
Amina; na uje, E Bwana.
Chorus
Yuaja, Yesu atarudi sasa;
Anakuja duniani.
Wasafiri wote watapumzika,
Yesu anaporudi tena.
[2]
Makaburi yote wafu wanapolala,
Yatafunguliwa tena;
Na mamilioni pale wataondoka tena,
Wasione machozi kamwe.
[3]
Hatutatengana na hao tena huko;
Nyimbo nzuri tutaimba.
Watakusanyika `toka kila kabila,
Miguuni pa Mwana-Kondoo.
[4]
Aleluya Amin! Aleluya tena!
Upendo wake unashinda!
Tutamsifu milele, hata tutashangaa,
Jinsi alivyotukomboa.
15[9]
Anakuja upesi, Yesu Bwana wetu,
Msafiri mbali na kwao;
Alisema dhahiri, ‘Nitakuja tena‘;
Amina; na uje, E Bwana.
Chorus
Yuaja, Yesu atarudi sasa;
Anakuja duniani.
Wasafiri wote watapumzika,
Yesu anaporudi tena.
[2]
Makaburi yote wafu wanapolala,
Yatafunguliwa tena;
Na mamilioni pale wataondoka tena,
Wasione machozi kamwe.
[3]
Hatutatengana na hao tena huko;
Nyimbo nzuri tutaimba.
Watakusanyika `toka kila kabila,
Miguuni pa Mwana-Kondoo.
[4]
Aleluya Amin! Aleluya tena!
Upendo wake unashinda!
Tutamsifu milele, hata tutashangaa,
Jinsi alivyotukomboa.
15[9]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.