TARUMBETA YA MWANA

[1]
Tarumbeta ya mwana itakapolia mara,
Milele itakapopambazuka,
Nao wa haki watakapokusanyika ng`ambo,
Majina yaitwapo, lo! - niweko.

Chorus
Majina yaitwapo, lo! -
Majina yaitwapo, lo! -
Majina yaitwapo, lo! -
Majina yaitwapo, lo! -
Niweko.

[2]
Siku ile watakatifu watakapoamka,
Na kuondoka huru kaburini;
Watakapokusanyika makaoni kule juu,
Majina yaitwapo, lo! - niweko.

[3]
Tutende kazi kwa yesu mchana kutwa kwa bidii,
Tutangaze kote pendo lake kuu;
Nayo kazi itakapotimika hap chini,
Majina yaitwapo, lo! - niweko.

16[8]