Lyrics
Font size:
[1]
Ati tuonane mtoni? Maji mazuri ya mbingu;
Yanatokea mwangani, penye kiti cha Mungu.
Chorus
Naam, tuonane mtoni! Watakatifu, kwenu ni mtoni!
Tutakutanika kule mtoni penye kiti cha Mungu.
[2]
Tukitembea mtoni na Yesu Mchunga wetu,
Daima tu ibadani usoni pake kwetu.
[3]
Tukisafiri mtoni tutue ulemeao
Wema wa Mungu yakini; una taji na yao!
[4]
Kwang`ara sana mtoni cha Mwokozi ni kioo,
Milele hatuachani tumsifu kwa nyimbo.
[5]
Karibu sana mtoni, karibu tutawasili,
Mara huwa furahani na amani ya kweli.
17[6]
Ati tuonane mtoni? Maji mazuri ya mbingu;
Yanatokea mwangani, penye kiti cha Mungu.
Chorus
Naam, tuonane mtoni! Watakatifu, kwenu ni mtoni!
Tutakutanika kule mtoni penye kiti cha Mungu.
[2]
Tukitembea mtoni na Yesu Mchunga wetu,
Daima tu ibadani usoni pake kwetu.
[3]
Tukisafiri mtoni tutue ulemeao
Wema wa Mungu yakini; una taji na yao!
[4]
Kwang`ara sana mtoni cha Mwokozi ni kioo,
Milele hatuachani tumsifu kwa nyimbo.
[5]
Karibu sana mtoni, karibu tutawasili,
Mara huwa furahani na amani ya kweli.
17[6]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.