Lyrics
Font size:
[1]
Yesu anasema, ‘Wewe huna nguvu,
Kesha ukaombe, Na uje, Mwanagu.‘
Chorus
Alilipa bei, Nawiwa naye;
Dhambi ilitia waa, Aliiondoa.
[2]
Bwana, nimeona, Uwezo wako tu,
Waweza `takasa Mioyo michafu.
[3]
Sina kitu chema, kudai neema,
Hivi nitafua, Mavazi kwa damu.
[4]
Ninaposimama, Juu ya mawingu,
Taji nitaweka, Miguuni pa Yesu.
11[9]
Yesu anasema, ‘Wewe huna nguvu,
Kesha ukaombe, Na uje, Mwanagu.‘
Chorus
Alilipa bei, Nawiwa naye;
Dhambi ilitia waa, Aliiondoa.
[2]
Bwana, nimeona, Uwezo wako tu,
Waweza `takasa Mioyo michafu.
[3]
Sina kitu chema, kudai neema,
Hivi nitafua, Mavazi kwa damu.
[4]
Ninaposimama, Juu ya mawingu,
Taji nitaweka, Miguuni pa Yesu.
11[9]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.