Lyrics
Font size:
[1]
Kazi yangu ikisha,nami nikiokoka;
Na kuvaa kutokuharibika,
Nitamjua mwokozi nifikapo ng`amboni;
Atakuwa wa kwanza kunilaki.
Chorus
Nitamjua,Nitamjua,nikimwona uso kwa uso;
Nitamjua,Nitamjua,kwa alama za misumari.
[2]
Furaha nitapata nikiona makao`
Bwana aliyotuandalia;
Nitamsifu Mwokozi kwa rehama na pendo;
Vilivyonipa pahali mbinguni.
[3]
Nao waliokufa katika Bwana Yesu,
Nitawaona tena huko juu;
Lakini nifikapo kwake huko mbinguni,
Nataka kumwona Mwokozi kwanza.
[4]
Milangoni mwa mji Bwana atanipisha,
Pasipo machozi wala huzuni.
Nitauimba wimbo wa milele;lakini
Nataka kumwona mwokozi kwanza.
17[7]
Kazi yangu ikisha,nami nikiokoka;
Na kuvaa kutokuharibika,
Nitamjua mwokozi nifikapo ng`amboni;
Atakuwa wa kwanza kunilaki.
Chorus
Nitamjua,Nitamjua,nikimwona uso kwa uso;
Nitamjua,Nitamjua,kwa alama za misumari.
[2]
Furaha nitapata nikiona makao`
Bwana aliyotuandalia;
Nitamsifu Mwokozi kwa rehama na pendo;
Vilivyonipa pahali mbinguni.
[3]
Nao waliokufa katika Bwana Yesu,
Nitawaona tena huko juu;
Lakini nifikapo kwake huko mbinguni,
Nataka kumwona Mwokozi kwanza.
[4]
Milangoni mwa mji Bwana atanipisha,
Pasipo machozi wala huzuni.
Nitauimba wimbo wa milele;lakini
Nataka kumwona mwokozi kwanza.
17[7]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.