YESU KWA IMANI

[1]
Yesu kwa imani, nakutumaini, peke yako
Nishike sasa, na kunitakasa, ni wako kabisa
Tangu leo.

[2]
Nipe nguvu pia za kusaidia moyo wangu;
Ulikufa wewe, wokovu nipewe, nakupenda wewe,
Bwana wangu.

[3]
Hapa nazunguka katika mashaka, na matata;
Palipo na giza utaniongoza, hivi nitaweza,
Kufuata.

12[3]