Lyrics
Font size:
[1]
Ahadi tamu kwa waamini,
Tazama nakuja upesi sana.
Uwe imara, hatari kubwa:
Ndugu usilale, bali ukeshe.
Chorus
Uihifadhi imani yako,
Dunia mpya itatolewa
Njoo ingia furaha yangu;
Taji zinangoja; Uwe imara.
[2]
Tatakesha na kutoa sala;
Atakuja kama mwivi kwa wengi;
Ya kwamba yu karibu twajua,
Ila hatujui ni siku gani.
[3]
Tunategemea Neno lake,
Ambalo latangaza kuja kwake,
Tumaini letu ni ahadi:
‘Naja karibuni, uwe imara.‘
16[5]
Ahadi tamu kwa waamini,
Tazama nakuja upesi sana.
Uwe imara, hatari kubwa:
Ndugu usilale, bali ukeshe.
Chorus
Uihifadhi imani yako,
Dunia mpya itatolewa
Njoo ingia furaha yangu;
Taji zinangoja; Uwe imara.
[2]
Tatakesha na kutoa sala;
Atakuja kama mwivi kwa wengi;
Ya kwamba yu karibu twajua,
Ila hatujui ni siku gani.
[3]
Tunategemea Neno lake,
Ambalo latangaza kuja kwake,
Tumaini letu ni ahadi:
‘Naja karibuni, uwe imara.‘
16[5]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.