Lyrics
Font size:
[1]
Huniongoza Mwokozi, ndipo nami hufurahi,
Niendapo pote napo, ataniongoza papo.
Chorus
Kuongoza hunishika; kwa mkono wa hakika;
Nitaandamana naye Kristo aniongozaye.
[2]
Pengine ni mashakani nami pengine rahani;
Ni radhi, ijapo yote, yupo nami siku zote.
[3]
Mkono akinishika kamwe sitanung`unika;
Atakachoniletea ni tayari kupokea.
[4]
Nikiisha kazi chini sitakimbia mauti;
Kuishinda ni ya hakika nikiongozwa na Baba.
15[1]
Huniongoza Mwokozi, ndipo nami hufurahi,
Niendapo pote napo, ataniongoza papo.
Chorus
Kuongoza hunishika; kwa mkono wa hakika;
Nitaandamana naye Kristo aniongozaye.
[2]
Pengine ni mashakani nami pengine rahani;
Ni radhi, ijapo yote, yupo nami siku zote.
[3]
Mkono akinishika kamwe sitanung`unika;
Atakachoniletea ni tayari kupokea.
[4]
Nikiisha kazi chini sitakimbia mauti;
Kuishinda ni ya hakika nikiongozwa na Baba.
15[1]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.