KUMTEGEMEA MWOKOZI

[1]
Kumtengemea Mwokozi, kwangu tamu kabisa,
Kukubali neno lake, Nina raha moyoni.

Chorus
Yesu,Yesu namwamini, Nimemwona thabiti,
Yesu,Yesu, yu thamani, Ahadi zake kweli.

[2]
Kumtengemea Mwokozi, Kwangu tamu kabisa,
Kuamini damu yake, Nimeoshwa kamili.

[3]
Kumtengemea Mwokozi, Kwangu tamu kabisa,
Kwake daima napata, uzima na amani.

[4]
Nafurahi kwa sababu, Nimekutengemea;
Yesu,M-pendwa rafiki, uwe nami daima.

12[9]