Lyrics
Font size:
[1]
Jina lake Yesu tamu Tukilisikia,
Hutupoza, tena hamu Hutuondolea,
[2]
Roho iliyo umia kwalom hutibika,
Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka.
[3]
Jina hili nimsingi, Ngao, Ngoma,
Mwamba, Kwa hili napata ungi, kwangu ni akiba.
[4]
Yesu, Mchunga, Rafiki, Mwalimu,
Kuhani, Mwanzo, Mwisho, na Amana, Mali yangu yote!
[5]
Moyo wangu hauwezi kukusifu kweli;
Ila sifa zangu hizi, Bwana, zikubali.
02[4]
Jina lake Yesu tamu Tukilisikia,
Hutupoza, tena hamu Hutuondolea,
[2]
Roho iliyo umia kwalom hutibika,
Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka.
[3]
Jina hili nimsingi, Ngao, Ngoma,
Mwamba, Kwa hili napata ungi, kwangu ni akiba.
[4]
Yesu, Mchunga, Rafiki, Mwalimu,
Kuhani, Mwanzo, Mwisho, na Amana, Mali yangu yote!
[5]
Moyo wangu hauwezi kukusifu kweli;
Ila sifa zangu hizi, Bwana, zikubali.
02[4]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.