TWAPANDA MAPEMA

[1]
Twapanda mapema na mchana kutwa
Mbegu za fadhili hata jioni
Twangojea sasa siku za kuvuna;
Tutashangilia wenye mavuno.

Wenye mavuno wenye mavuno,
Tutasha ngilia wenye mavuno;
Wenye mavuno wenye mavuno,
Tutasha ngilia wenye mavuno.

[2]
Twapanda mwangani na kwenye kivuli
Tusishindwe na baridi na pepo
Punde itaisha kazi yetu hapa
Tutashangilia wenye mavuno.

[3]
Twapana kwa Bwana mbegu kila siku.
Tujapoona taabu nahuzuni;
Tuishapo shinda atatupokea:
Tutashangilia wenye mavuno.

05[5]