WIMBI LITAKASALO

[1]
Wimbi la damu ya Yesu Linatutakasa;
Aliumia kusudi Tupate uzima.

Chorus
Wimbi la damu naona, Naingia, natakaswa!
Bwana asifiwe sana, Hutakasa, hutakasa.

[2]
Damu inasema kwangu, Nasikia mvuto;
Inasema, moyo wangu Hutakaswa nayo.

[3]
Naondoka kutembea Kwa nuru ya mbingu;
Mavazi yamesafishwa; Moyoni ni Yesu.

[4]
Neema ni ya ajabu, Kutakaswa ndani!
Na kuwa naye Yesu tu, Aliye Mwokozi.

18[8]