USIKATAE KAZI

Language: Swahili
Nyimbo Za Kikristo

USIKATAE KAZI

[1]
Usiikatae kazi yake Bwana; Ukae tayari kuifanya kazi;
Uende po pote Mungu akwitapo,
Nawe utaona furaha kazini

Chorus
Njoo, We! Usikatae; Njoo, We! Uifanye kazi;
Usiikatae kazi yake Bwana, Ili hatimaye usikatazwe juu.

[2]
Usiikatae kazi yake Bwana; Kwa nini kawia? Fanya kazi leo.
Mavuno meuoe, Wachache wavuni,
Onyesha furaha Kwa kazi ya Bwana.

[3]
Usiikatae kazi yake Bwana; Kukataa pendo Kwako ni hatari.
Saa ya rehema, Yesu akiomba,
Ziungame dhambi, Zifutwe mbinguni.

05[7]