URAFIKI WA YESU

[1]
Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!
Tabibu mwingine wa rohoni, Hakuna, hakuna!

Chorus
Yesu ajua shida zetu; Daima ataongoza
Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!

[2]
Wakati ambapo hapo yeye, Hapana, hapana!
Wala giza kututenga naye, Hapana, hapana!

[3]
Aliye sahauliwa naye, Hakuna, hakuna!
Mkosaji asiyempenda, Hakuna, hakuna!

[4]
Kipawa kama Mwokozi wetu, Hakuna, hakuna!
Ambaye atanyimwa wokovu, Hakuna, hakuna!

04[4]