UPENDO NI FURAHA

[1]
Upendo ni furaha, ni kweli desturi;
Yake kuzisahihisha, njia zetu zote.

Chorus
Yu pendo: tu watoto wake,
Yu pendo, Mwana wa Mungu!

[2]
Na sisi tupendane kama Baba Mungu,
Amri yake ndiyo hii, kupendana sana.

[3]
Duniani huzuni, ugonjwa mauti;
Kwa pendo tuwafariji, wenye mahitaji.

[4]
Na atakapokuja kutuchukua juu;
Tutaimba milele pendo lake Yesu.

19[9]