UNIIMBIE TENA

Language: Swahili
Nyimbo Za Kikristo

UNIIMBIE TENA

[1]
Uliniimbie tena, Neno la uzima;,
Uzuri wake nione, Neno la uzima;
Neno hili zuri, lafundisha kweli.

Chorus
Maneno ya uzima ni maneno mazuri
Maneno ya uzima ni maneno mazuri

[2]
Kristo anatupa sote, neon la uzima:
Mwenye dhambi asikie, Neno la uzima:
Latolewa bure, Tupate wokovu:

[3]
Neno tamu la injili, Neno la uzima:
Lina amani kwa wote, Neno la uzima:
Linatutakasa, Kwa haki ya Mwana:

13[9]