UKARIBIE TENA

Language: Swahili
Nyimbo Za Kikristo

UKARIBIE TENA

[1]
Ukaribie tena, ewe siku ya raha;
Roho yakusalimu kama mwanga wa mbingu.

[2]
Raha yako tulivu, yafurahisha moyo;
Yatuliza taabu, hata waisha mwendo.

[3]
Ee siku takatifu, sifa na maombi,
Na kutuhekimisha, baraka yako kubwa.

08[6]