SAUTI YAKE MCHUNGAJI

[1]
Sauti ya Mchungaji, ninasikia jangwani,
Kondoo waliopotea anwaita warudi.

Chorus
Leteni, leteni, leteni toka dhambini;
Leteni, leteni, waleteni kwa Yesu.

[2]
Nani atakeyekwenda amsaidie Mchungaji,
Awarudishe zizini, wasife bure gizani?

[3]
Usikose kusikis sauti ya Mchungaji,
‘Kondoo waliopotea nwnda na kuwatafuta.‘

19[3]