OMBA SANA ASUBUHI

[1]
Omba sana asubuhi,
Omba sana mchana,
Omba sana na jioni,
Bwana hutusikia.

[2]
Mungu hujibu maombi,
Asubuhi na mchana,
Hata hutungojea tena,
Wakati wa jioni.

[3]
Na tuimbe asubuhi.
Tena saa za mchana.
Hivi tutafurahi Naye.
Pumziko la jioni.

21[7]