MWOKOZI WANGU ANIPENDA

[1]
Mwokozi wangu alinipenda,
Maovu ayanitengi naye,
Alijitoa, kuniponya,
Sasa mimi wake.

Chorus
Mimi wake kabisa,
Naye Yesu wangu,
Si kwa wakati huu tu,
Bali na milele.

[2]
Dhambi nilijidhili sana,
Yesu akaja kunikomboa,
Akanitoa sumbukoni,
Sasa mimi wake.

[3]
Furaha nyingi moyoni mwangu,
Bwana Yesu kunifanya huru,
Kunitwaa kwa damu yake,
Sasa mimi wake.

20[6]