KUFARIKI NAYE YESU

[1]
Kufariki naye Yesu! Usingizi wewe heri;
Raha isiyofujika kwa majozi na adui.

[2]
Kufariki naye Yesu! Lo! Ya kubwaga simanzi
Na kulala na amani hata Bwana awatuze.

[3]
Kufariki naye Yesu! Heri watakaoamshwa,
Wataona siku ile utukufu wake Bwana.

[4]
Kufariki naye Yesu! Wataamka aitapo;
Watapasua kaburi na kutoka watukufu.

18[7]