KESHENI KAOMBENI

[1]
Kesha ukaombe panapo mafasi;
Wakati si mwingi. Kwa vile ukeshe
Mwili ni dhaifu. Adui hodari
karibu atakuja, Bwana wa arusi.

Chorus
Kesha, Omba, Kesha, Omba,
Kesha Kaombe gizani, mchana,
Daima kesha.

[2]
Fukuza usingizi, fukuza mashaka;
Ahadi ni yako, raha ya milele
Bwana alkesha kwa ajili yako;
Jasho yeke ikawa matone ya dame.

[3]
Yesu umkubali awe nguvu zako;
Silaha uzivae; adui karibu.
Sasa nafasi iko, isipite bure;
Bila kukawia masihiya kesha.

07[1]