Lyrics
Font size:
[1]
Karibu sana univute, karibu sana daima niwe.
Bwana napenda unishike, Unilinde nisitengwe nawe,
Unilinde nisitengwe nawe.
[2]
Karibu sana, sina kitu, Sina sadaka kwa Bwana Yesu,
Isipokuwa moyo wangu: Uutakase katika damu,
Uutakase katika damu.
[3]
Karibu sana wewe, wewe nami, Nitafurahi kuacha
Dhambi- - Anasa zote na kiburi: Nipe Yesu niliye msulibi,
Nipe Yesu niliye msulibi.
[4]
Karibu sana, hata mwisho. Hata mbinguni nisimamapo:
Daima dawamu niwepo Nitakapoona uso wako,
Nitakapoona uso wako.
03[3]
Karibu sana univute, karibu sana daima niwe.
Bwana napenda unishike, Unilinde nisitengwe nawe,
Unilinde nisitengwe nawe.
[2]
Karibu sana, sina kitu, Sina sadaka kwa Bwana Yesu,
Isipokuwa moyo wangu: Uutakase katika damu,
Uutakase katika damu.
[3]
Karibu sana wewe, wewe nami, Nitafurahi kuacha
Dhambi- - Anasa zote na kiburi: Nipe Yesu niliye msulibi,
Nipe Yesu niliye msulibi.
[4]
Karibu sana, hata mwisho. Hata mbinguni nisimamapo:
Daima dawamu niwepo Nitakapoona uso wako,
Nitakapoona uso wako.
03[3]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.