Lyrics
Font size:
[1]
Jua la rohoni mwangu, mpendwa Mwokozi wangu;
Usiku giza hapana, ukiwa karibu Bwana
[2]
Nikipata usingizi, nijaze fikira hizi,
Nitamu sana, nilale pendoni mwako milele.
[3]
Kaa nami, ewe Bwana, usiku kama mchana,
Nisiishi mbali nawe; ni uhai kuwa nawe.
[4]
Kama mtotomnyonge ameshawishwa atange,
Mtafute Ewe Bwana, ujirudishie tena.
[5]
Wagonjwa wape amani, waneemeshe maskini,
Waliao, Mtulizi, wape wote usingizi.
[6]
Asubuhi tutokapo, tukaribie tulipo;
Twingiapo duniani tuwe mwako mkononi.
09[3]
Jua la rohoni mwangu, mpendwa Mwokozi wangu;
Usiku giza hapana, ukiwa karibu Bwana
[2]
Nikipata usingizi, nijaze fikira hizi,
Nitamu sana, nilale pendoni mwako milele.
[3]
Kaa nami, ewe Bwana, usiku kama mchana,
Nisiishi mbali nawe; ni uhai kuwa nawe.
[4]
Kama mtotomnyonge ameshawishwa atange,
Mtafute Ewe Bwana, ujirudishie tena.
[5]
Wagonjwa wape amani, waneemeshe maskini,
Waliao, Mtulizi, wape wote usingizi.
[6]
Asubuhi tutokapo, tukaribie tulipo;
Twingiapo duniani tuwe mwako mkononi.
09[3]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.