Lyrics
Font size:
[1]
Jina lake Yesu tamu, Lihifadhi moyoni;
Litakufariji ndugu,Enda nalo popote.
Chorus
Jina la Thamani,
(Thamani) (thamani)
Tumai la dunia
Jina la thamani - - tamu!)
Furaha ya mbinguni.
[2]
Jina la Yesu lafaa Kama ngao vitani.
Majaribu yakisonga, Omba kwa jina hili.
[3]
Jina hili la thamani Linatufurahisha,
Napotukaribisha, Na tunapomwimbia.
[4]
Mwisho wa safari yetu Tutakapomsujudu.
Jina hili tutasifu Furaha ya mbinguni.
02[8]
Jina lake Yesu tamu, Lihifadhi moyoni;
Litakufariji ndugu,Enda nalo popote.
Chorus
Jina la Thamani,
(Thamani) (thamani)
Tumai la dunia
Jina la thamani - - tamu!)
Furaha ya mbinguni.
[2]
Jina la Yesu lafaa Kama ngao vitani.
Majaribu yakisonga, Omba kwa jina hili.
[3]
Jina hili la thamani Linatufurahisha,
Napotukaribisha, Na tunapomwimbia.
[4]
Mwisho wa safari yetu Tutakapomsujudu.
Jina hili tutasifu Furaha ya mbinguni.
02[8]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.