Lyrics
Font size:
[1]
Ukitafuta mali, Huna wasaa kwa Yesu?
Kwa matendo ya haki Huna wasaa kwa Yesu?
Anasa za dunia, Mambo yako ya raha
Haya unatafuta; Huna wasaa kwa Yesu?
[2]
Mambo yanakusonga: Kwakehuna nafasi?
Watekwa na dunia, Kwake huna nafasi?
Humwona m-langoni, Anapopiga hodi?
Daima hukusihi: Kwake huna nafasi?
[3]
Sa-a ni za thamani, Kwake hamnayo kazi
Wala hamfanyi bidii, Kwake hamnayo kazi?
Hamkufikia kwao Waliomo shimoni
Na waliopotea? Kwake hamnayo kazi?
[4]
Na wazaa majani tu? Huna tunda kwa Yesu?
Mikono I mitupu, Huna tunda kwa Yesu?
Huna chembe kwa ghala Kazi yako kulipa;
Wala huna furaha Unapomwona Yesu?
10[6]
Ukitafuta mali, Huna wasaa kwa Yesu?
Kwa matendo ya haki Huna wasaa kwa Yesu?
Anasa za dunia, Mambo yako ya raha
Haya unatafuta; Huna wasaa kwa Yesu?
[2]
Mambo yanakusonga: Kwakehuna nafasi?
Watekwa na dunia, Kwake huna nafasi?
Humwona m-langoni, Anapopiga hodi?
Daima hukusihi: Kwake huna nafasi?
[3]
Sa-a ni za thamani, Kwake hamnayo kazi
Wala hamfanyi bidii, Kwake hamnayo kazi?
Hamkufikia kwao Waliomo shimoni
Na waliopotea? Kwake hamnayo kazi?
[4]
Na wazaa majani tu? Huna tunda kwa Yesu?
Mikono I mitupu, Huna tunda kwa Yesu?
Huna chembe kwa ghala Kazi yako kulipa;
Wala huna furaha Unapomwona Yesu?
10[6]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.