Lyrics
Font size:
[1]
Tuonanapo na rafiki sote twafurahi,
Ila tumepaswa mwishowe kuagana tena.
Chorus
Hatutaagana tena nyumbani mbinguni,
Kwenye nchi tamu juu, Hatutaagana.
[2]
Twatumaini kwa furaha tutaonana juu
Na rafiki tulioaga tuishapo shinda.
[3]
Kule hatutatamka kamwe neno la kuaga,
Tutaimba daima tena nyimbo za furaha.
18[6]
Tuonanapo na rafiki sote twafurahi,
Ila tumepaswa mwishowe kuagana tena.
Chorus
Hatutaagana tena nyumbani mbinguni,
Kwenye nchi tamu juu, Hatutaagana.
[2]
Twatumaini kwa furaha tutaonana juu
Na rafiki tulioaga tuishapo shinda.
[3]
Kule hatutatamka kamwe neno la kuaga,
Tutaimba daima tena nyimbo za furaha.
18[6]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.