Lyrics
Font size:
[1]
Nina haja nawe kila saa;
Hawezi mwingine kunifaa.
Chorus
Yesu nakuhitaji vivyo kila saa!
Niwezeshe mwokozi, nakujia.
[2]
Nina haja nawe; Kaa name,
Na maonjo haya, hayaumi.
[3]
Nina haja nawe; kila hali,
Maisha ni bure, uli mbali.
[4]
Nina haja nawe; Nifundishe,
Na ahadi zako, zifikishe.
[5]
Nina haja nawe; Mweza yote,
Ni wako kabisa, siku zote.
12[6]
Nina haja nawe kila saa;
Hawezi mwingine kunifaa.
Chorus
Yesu nakuhitaji vivyo kila saa!
Niwezeshe mwokozi, nakujia.
[2]
Nina haja nawe; Kaa name,
Na maonjo haya, hayaumi.
[3]
Nina haja nawe; kila hali,
Maisha ni bure, uli mbali.
[4]
Nina haja nawe; Nifundishe,
Na ahadi zako, zifikishe.
[5]
Nina haja nawe; Mweza yote,
Ni wako kabisa, siku zote.
12[6]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.