Lyrics
Font size:
[1]
Cha kutumaini sina ila damu yake Bwana,
Sina wema wa kutosha Dhambi zangu kuziosha.
Chorus
Kwake Yesu nasimama,
Ndiye mwamba: ni salama;
Ndiye mwamba: ni salama;
[2]
Njia yangu iwe ndefu yeye hunipa wokovu;
Mawimbi yakinipiga nguvuzake ndizo nanga.
[3]
Damu yake na sadaka nategemea daima,
Yote chini yakiisha Mwokozi atanitosha.
[4]
Nikiitwa hukumuni, Rohoni nina amani;
Nikivikwa haki yake sina hofu mbele zake.
06[9]
Cha kutumaini sina ila damu yake Bwana,
Sina wema wa kutosha Dhambi zangu kuziosha.
Chorus
Kwake Yesu nasimama,
Ndiye mwamba: ni salama;
Ndiye mwamba: ni salama;
[2]
Njia yangu iwe ndefu yeye hunipa wokovu;
Mawimbi yakinipiga nguvuzake ndizo nanga.
[3]
Damu yake na sadaka nategemea daima,
Yote chini yakiisha Mwokozi atanitosha.
[4]
Nikiitwa hukumuni, Rohoni nina amani;
Nikivikwa haki yake sina hofu mbele zake.
06[9]
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.