ukumu

Language: Swahili
Nyimbo za Kristo

ukumu

[1]
Imeanzishwa hukumu mbinguni; Tutasimamaje pale
Apomapo Mungu hakimu kula wazo na tendo?

Tutasimamaje sote katika siku kuu ile?
Dhambi zitu zitafutika ama zitatuangusha?

[2]
Wametangulia wafu kupimwa, Kitambo ndipo wahai,
Watapokea neno la mwisho, Vitabuni mwa Mungu.

[3]
Tutasimamaje usiku ule, Siri zetu, kila moja,
Zafunuliwa toka vitabu; Yesu atusaidie!