saba ni kwa Yesu

[1]
Siku sita fanya kazi, Ya saba ni kwa Yesu.
Hapo tunapo pumzika, kwani ni yake Yesu.

Moja, mbili, tatu,nne, tano, sita, zote kwetu;
Lakini tutakumbuka, Ya saba ni kwa Yesu.

[2]
Huonyesha ya kufanya, Kwa kuwa ni ya Yesu,
Na atuonyesha njia, tutamfuata Yesu.

[3]
Tuombe kila Sabato, Na kujifunza kwake;
Tutamtii daima, tutakaa na Yesu.