Kutumaini Sina

Language: Swahili
Nyimbo za Kristo

Kutumaini Sina

[1]
Cha kutumaini sima ila damu yake Bwana,
Sina wema wa kutosha Dhambi zangu kuziosha.

[Kwake yesu nasimama,
Ndiye Mwamba: ni salama;
Ndiye mwanba: ni salama;

[2]
Njia yangu iwe ndefu yeye hunipa wokovu;
Mawinbini yakinipoga nguvu zake ndio nanga.

[3]
Damu yake na sadaka nategemea daima,
Yote chini yakiisha mwokozi atanitosha.

[4]
Nikiitwa hukumuni, rohoni nina amani;
Nikivikwa haki yake sina hofu mbele zake.