KANISA LA KRISTO

Language: Swahili
Nyimbo Za Umoja

KANISA LA KRISTO

[1]
Kanisa letu la Kristo lililojengwa duniani
“Kwa upendo”

Popote linajulikana kwa maneno na matendo
“Tendo”. Nasi twaomba Mungu kanisa “liendelee”

[2]
Makanisa yote ya Krsto “duniani”, popote ya wasalimu
“Karibuni”.

[3]
Kundi hili lake Mwokozi, linaishi kwa amani
“Na umoja”

[4]
Siku ya mwisho Bwana Yesu atalipeleka Mbinguni
“kwa Baba”

[5]
Ndugu yangu, jifikirie “uko wapi” katika Kanisa gain, “Sasa”