Lyrics
Font size:
[1]
Kanisa letu la Kristo lililojengwa duniani
“Kwa upendo”
Popote linajulikana kwa maneno na matendo
“Tendo”. Nasi twaomba Mungu kanisa “liendelee”
[2]
Makanisa yote ya Krsto “duniani”, popote ya wasalimu
“Karibuni”.
[3]
Kundi hili lake Mwokozi, linaishi kwa amani
“Na umoja”
[4]
Siku ya mwisho Bwana Yesu atalipeleka Mbinguni
“kwa Baba”
[5]
Ndugu yangu, jifikirie “uko wapi” katika Kanisa gain, “Sasa”
Kanisa letu la Kristo lililojengwa duniani
“Kwa upendo”
Popote linajulikana kwa maneno na matendo
“Tendo”. Nasi twaomba Mungu kanisa “liendelee”
[2]
Makanisa yote ya Krsto “duniani”, popote ya wasalimu
“Karibuni”.
[3]
Kundi hili lake Mwokozi, linaishi kwa amani
“Na umoja”
[4]
Siku ya mwisho Bwana Yesu atalipeleka Mbinguni
“kwa Baba”
[5]
Ndugu yangu, jifikirie “uko wapi” katika Kanisa gain, “Sasa”
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.