Lyrics
Font size:
[1]
Mungu ni Baba wetu
Ndiye Muumba vyote
Uwezo na ushindi
Hupatikana kwake.
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[2]
Bwana wetu ni Kristo
Ndiye mwamba wa pekee
Jiwe kuu la pembeni
Liliwekwa na Mungu
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[3]
Yesu alilijenga
Kanisa juu ya mwamba
Milango ya kuzimu
Haiwezi kushinda.
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[4]
Naye Yesu ni kichwa
Ni kichwa cha kanisa
Naye ni mzaliwa
Wa kwanza toka wafu
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[5]
Mungu Baba atukuzwe
Baba na Bwana Yesu
Aliyetubariki
Baraka za rohoni.
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
Mungu ni Baba wetu
Ndiye Muumba vyote
Uwezo na ushindi
Hupatikana kwake.
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[2]
Bwana wetu ni Kristo
Ndiye mwamba wa pekee
Jiwe kuu la pembeni
Liliwekwa na Mungu
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[3]
Yesu alilijenga
Kanisa juu ya mwamba
Milango ya kuzimu
Haiwezi kushinda.
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[4]
Naye Yesu ni kichwa
Ni kichwa cha kanisa
Naye ni mzaliwa
Wa kwanza toka wafu
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
[5]
Mungu Baba atukuzwe
Baba na Bwana Yesu
Aliyetubariki
Baraka za rohoni.
[chorus]
Bwana Mungu asema
Tazama naliweka
Jiwe kuu la pembeni
Lililo jaribiwa
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.