Hukumu Na Majuto

Language: Swahili
Nyimbo Za Umoja

Hukumu Na Majuto

[1]
Hukumu yaningoja nitakimbilia wapi
Ili niponywe na Bwana Yesu aita
Hukumu yaningoja nitakimbilia wapi
Ili niponywe na Bwana Yesu aita

[Chorus]
Nitasema nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea
Nitajibu nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea x2

Bwana niende wapi hukumu hii tayari
Bwana dhambi zangu zanilemea
Bwana niende wapi hukumu hii
Tayari Bwana dhambi zangu zanilemea

[2]
Yesu alimwaga damu kutuponya sisi
Wakosaji ili tusafishwe hima
Yesu alimwaga damu kutuponya sisi
Wakosaji Ili tusafishwe hima

[Chorus]
Nitasema nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea
Nitajibu nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea x2

Bwana niende wapi hukumu hii tayari
Bwana dhambi zangu zanilemea
Bwana niende wapi hukumu hii
Tayari Bwana dhambi zangu zanilemea

[3]
Sote tumwendee mponya ni Yesu kwa nguvu
Tumwombe kwani atatusafisha
Sote tumwendee mponya ni Yesu kwa nguvu
Tumwombe kwani atatusafisha

[Chorus]
Nitasema nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea
Nitajibu nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea x2

Bwana niende wapi hukumu hii tayari
Bwana dhambi zangu zanilemea
Bwana niende wapi hukumu hii
Tayari Bwana dhambi zangu zanilemea