Lyrics
Font size:
[1]
Habari njema twaisikia,
Kila mahali duniani, “duniani”
Nawe mwenzangu waisikia,
Ama u bado sikiliza.
Wanahubiri watu wa Mungu
Na wewe mwenzangu wajivuna! “wajivuna”
Wajidanganya na ulimwengu,
Ambao kesho watoweka.
[2]
Habari njema yasema kwamba,
Huko mbinguni kwake Mungu “kwake Mungu”
Hakuna taabu uzima tele,
Wala sumbuko hutapata.
[3]
Yesu asema asiyesikia,
Hata na mimi simjui! “sijui”
Nikiwadia nitamwambia
Ondoka kwangu sikujui.
Habari njema twaisikia,
Kila mahali duniani, “duniani”
Nawe mwenzangu waisikia,
Ama u bado sikiliza.
Wanahubiri watu wa Mungu
Na wewe mwenzangu wajivuna! “wajivuna”
Wajidanganya na ulimwengu,
Ambao kesho watoweka.
[2]
Habari njema yasema kwamba,
Huko mbinguni kwake Mungu “kwake Mungu”
Hakuna taabu uzima tele,
Wala sumbuko hutapata.
[3]
Yesu asema asiyesikia,
Hata na mimi simjui! “sijui”
Nikiwadia nitamwambia
Ondoka kwangu sikujui.
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.