Furaha Kwa Ulimwengu

Song Lyrics

Furaha Kwa Ulimwengu

Nyimbo Za Umoja · Swahili
Present

Lyrics

Font size:
[1]
Furaha kwa ulimwengu! Bwana amekuja.
Nyote Mkaribisheni, moyo yenu na mpeni.
Wote wamshangilie, Wote wamshangilie,
na wote, na wote wamshangilie.

[2]
Furaha kwake dunia! Mwokozi ni Mfalme.
Bonde na mlima na mwamba, maji mtoni na shamba
Rudisheni sauti, Rudisheni sauti
Rudisheni, na rudisheni sauti.

[3]
Dhambi zisiongezeke, wala wahalifu;
Yuaja kutubariki, Atuletea ushindi,
Kuharibu dhambi, Kuharibu dhambi
Na kuharibu, na kuharibu dhambi

[4]
Atawala na neema, Kwao mataifa;
Utukufu na waone, Haki yake itendeke;
Kwa upendo wake, Kwa upendo wake
Kwa upendo, na kwa upendo wake

Support My Songbooks

Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.

Buy me a coffeeBuy us a coffee