Lyrics
Font size:
[1]
Furaha kwa ulimwengu! Bwana amekuja.
Nyote Mkaribisheni, moyo yenu na mpeni.
Wote wamshangilie, Wote wamshangilie,
na wote, na wote wamshangilie.
[2]
Furaha kwake dunia! Mwokozi ni Mfalme.
Bonde na mlima na mwamba, maji mtoni na shamba
Rudisheni sauti, Rudisheni sauti
Rudisheni, na rudisheni sauti.
[3]
Dhambi zisiongezeke, wala wahalifu;
Yuaja kutubariki, Atuletea ushindi,
Kuharibu dhambi, Kuharibu dhambi
Na kuharibu, na kuharibu dhambi
[4]
Atawala na neema, Kwao mataifa;
Utukufu na waone, Haki yake itendeke;
Kwa upendo wake, Kwa upendo wake
Kwa upendo, na kwa upendo wake
Furaha kwa ulimwengu! Bwana amekuja.
Nyote Mkaribisheni, moyo yenu na mpeni.
Wote wamshangilie, Wote wamshangilie,
na wote, na wote wamshangilie.
[2]
Furaha kwake dunia! Mwokozi ni Mfalme.
Bonde na mlima na mwamba, maji mtoni na shamba
Rudisheni sauti, Rudisheni sauti
Rudisheni, na rudisheni sauti.
[3]
Dhambi zisiongezeke, wala wahalifu;
Yuaja kutubariki, Atuletea ushindi,
Kuharibu dhambi, Kuharibu dhambi
Na kuharibu, na kuharibu dhambi
[4]
Atawala na neema, Kwao mataifa;
Utukufu na waone, Haki yake itendeke;
Kwa upendo wake, Kwa upendo wake
Kwa upendo, na kwa upendo wake
Support My Songbooks
Help us expand our library and keep the music alive for everyone. Even a small donation goes a long way.