Furaha Kwa Ulimwengu

[1]
Furaha kwa ulimwengu! Bwana amekuja.
Nyote Mkaribisheni, moyo yenu na mpeni.
Wote wamshangilie, Wote wamshangilie,
na wote, na wote wamshangilie.

[2]
Furaha kwake dunia! Mwokozi ni Mfalme.
Bonde na mlima na mwamba, maji mtoni na shamba
Rudisheni sauti, Rudisheni sauti
Rudisheni, na rudisheni sauti.

[3]
Dhambi zisiongezeke, wala wahalifu;
Yuaja kutubariki, Atuletea ushindi,
Kuharibu dhambi, Kuharibu dhambi
Na kuharibu, na kuharibu dhambi

[4]
Atawala na neema, Kwao mataifa;
Utukufu na waone, Haki yake itendeke;
Kwa upendo wake, Kwa upendo wake
Kwa upendo, na kwa upendo wake